JSS Kis (G7&8) Topical Revision
JSS Kis (G7&8) Topical Revision
JSS Kis (G7&8) Topical Revision
KISWAHILI
A Series of JSS Assessment & Revision Questions for Grades
7&8 Cutting across all the Stands & Sub-strands
1. Tunga sentensi tano kuhusu usafj wa kibinafsi ukizingatia matumizi ya herufi kubwa na kikomo
A) .
B) .
C) .
D) .
E).
(c) Usafi wa meno unadumishwa_ kwa kupiga mswaki ukitumia dawa ya meno na maji safi.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(e) Julia alinunua kichana kwa shilingi 30.50 kwenye duka la Naivas.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
ZOEZI 2
(a) Vitamin
(c) Afya
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(d) Mboga
(e) Viinilishe
ZOEZI 3
Zoezi 4
Mwalimu, uzuri, taa, ubaya, Amani, shibe, ujasini, lishe, afya, huruma, tembea, uchovu.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
3. Uhuru wa wanyama
ZOEZI 6
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
ZOEZI 8
Zoezi 9
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
Zoezi 10
(a) Buriani -
(c) Kwaheri -
(e) Alamsiki
Zoezi 11
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
2. Pigia mistari vitenzi vilivyo katika wakati uliopita hali ya kuendelea kwenye sentensi zifuatazo
unyanyazaji.
(c) Bawabu angali analinda lango la shule. (d) Itambidi mfanyakazi alime shamba lote.
ZOEZI 13
Zoezi 14
Tunapoketi na kutafakari kuhusu elimu, tunaona kwamba elimu ni kitu muhimu sana katika jami, nayo
humsaidia adinasi kila kuchao. Kwanza kabisa,
elimu haipatikani shuleni na vyuni tu bali huendelea kila siku. Utakubaliana name nikisema kuwa kila
siku unasoma jambo jipya katika ulimwengu huu hata kama uliyakamilisha masomo ya chuoni mwongo
mzima uliopita. Nasema haya uyapatayo hutokana na visa mbalimbali. Vinavyowapata aila au sahibu
yako na kwa hivyo ukatahadhari kabla ya kupatwa habari ile.
(b) Andika sentensi moja inayoeleza habari kuu za aya hiyo kwa usahihi.
Zoezi 15
(a) Vi -
(b) Si
(c) Yu
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(d) Ndisi
(e) Ni
2. Ni tofauti gani illyopo baina ya mazungumzo ya kupasha habari na aina nyingine za mazungumzo.
(a) Ploti -
(b) Mandhari -
Zoezi 17
a)
b)
C)
d)
e)
Zoezi 19
(a) Kidole
(b) Kitoto
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(c} Choo
(d) Kitanda
(e) Chakula
Zoezi 20
(a) Jani -
(b) Jicho -
(c) Bega -
(d) Panzia -
(e) Dirisha -
Zoezi 21
(a) Kipepesi -
(b) Intaneti -
(c) Arafa -
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(g) Tovuti -
Zoezi 23
3. Imba wimbo wowote unaoweza kuimbwa katika shughuli zinazohusishwa na mazingira mMojawapo.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(a).
(b) .
(c) .
Zoezi 24
Nomino Kinyume
a) Mvulana
b) Koo
c) Bibi
d) Mjomba
e) Fahali
f) Tajiri
2.
Kivumishi. Kinyume
Refu
Eupe
Karimu
Safi
Nene
Zoezi 25
Pigia
Soma
Chukua
Omba
Cheza
Fua
Beba
(a) Tashbihi
(b) Methali
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(d) Nahau
Zoezi 28
Samaki
Jicho
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
Choo
Ndoo
Ukuta
Mwana
(e) Weneta alisema, Uzalendo wako utajulikana iwapo utalipa ushuru kikamilifu’.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
b. Mgeni mwalikwa aliwaambia kuwa kuihudumia jamii shuleni ni jukumu la kila mmoja wao.
c. Mwalimu aliwaambia kuwa wangefaulu maishani mwao_ ikiwa wangezitoa maadili ya mtu binafsi.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
KISWAHILI TATHMINI
Mtihani wa Tathmini 1
Sehemu A
Kuzingatia 1_wa mazingira 2_ swala la mjadala tena. 3_ni watoto wachanga tu ambao 4_ukweli huu. 5_
ni jambo la kupoteza tumaini kuona mazingira yakichafuliwa 6 . Wananchi wa humu nchini na
kwingineko ulimwenguni 7_wanaendelea _ 8 wenzao 9_ kuyaweka mazingira katika hali safi. Tusiwe
pweza wa kujipalia maji. Tuyatunze mazingira 10_.
A B C. D.
SEHEMU YA B
Kusoma
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
Unapotembeatembea katika miji na majiji yetu makuu ni kawaida kuwaona watoto walionenepa sana.
Utawaona wameandamana na wazazi wao wanaoonekana kutojali afya ya watoto wao. Watoto wenyewe
wataonekana wenye raha, wasio na lolote la kuashiria kuwa wanaijali afya yao. Ukikutana nao katika
maduka makuu, utawapata wakiburura troli zilizo sheheni mapochopocho ya kila aina. Kaukau, biskuti,
chokoleti, keki na tamutamu nyinginezo. Kutoka hapo, ukiwafuata wataingia katika mikahawa na kuagiza
vibanzi, kuku na sharubati au soda. Baada ya kula na kushiba shibe yao, wataingia magarini mwao na
kupelekwa nyumbani au kustarehe kwingineko. Vyakula hivi vyenye mafuta na sukari nyingi ndivyo
husababisha miili iwe minene. Kuutia msumari moto kwenye kidonda, mazoezi ya kunyoosha misuli
hayapo. Nyumbani nako hawana majukumu yoyote. Kazi ni kutazama runinga na sinema. Si nadra wao
kufuliwa nguo, kupigiwa viatu rangi na mengine. Wajakazi na watwana wao hulimbikiziwa kazi zote.
huu.
SEHEMU YA C
(c) Zenga huangua kucha zake kila mara 19. Tunga sentensi ukitumia nomino za pekee
(a) Jumamosi
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(c) Februari
(a) Sabalkheri
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(b) Shikamoo
LISHE BORA
MTIHANI WA TATHMINI WA 2
Usafi _ Kibinafsi ni jukumu la kila_ katika Jamii. Hili si jukumu ta kuwachia _bu wa kuwaeleza wanao
kunawa_ kabla na baada ya kula na kutumia _._Walimu nao wana jukumu la kuendeleza ufunzaji huo,
Wanapaswa kuwaeleza _ umuhimu wa kunawa, kutumia_ na kufua zao.
(wa, mswaki, shuleni, walimu, wanafunzi, nguo, mikono, mtu, wazazi, misala)
Viumbe wote hai huhitaji chakula ili kuishi. Chakula huwapa binadamu nguvu ili waweze kufanya
shughuli zao za kila siku. Ni muhimu kula chakula bora na cha kutosha. Tunashauriwa Chakula cha
wanga huongeza nguvu mwilini.kula mlo kamili ulio na virutubishi na madini. Tunahitaji nguvu ya
kusoma, Kuandika na kufanya shughuli zingine za kila siku. Baadhi ya vyakula vya Wanga ni mahindi,
mihogo, wali na ugali. Vyakula vya protini kama vile samaki, maharagwe, mayai na pojo hutusaidia
katika kujenga mwili na uponaji wa vidonda na majeraha.
Vitamini ni mojawapo ya virutubishi muhimu katika mwili wa binadamu. Husaidia kulinda mwilt dhidi
ya maradhi mbalimbali. Vyakula vilivyo na vitamini ni kama vile mboga za majani na matunda. Maji
hujenga asilimia kubwa ya mwili wa binadamu na husaidia kuusafisha mwili. Maji kamili, sharubati,
maziwa, supu au chakula chenye maji kwa wingi kama mboga na matunda huongeza maji mwilini.
Chumvi pia ni muhimu mwilini kwa kuwa huongeza ladha kwenye chakula. Baadhi ya vyakula kama vile
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
biskuti, chokoreti na peremende hudhuru meno. Ni muhimu kutovila vyakula hivi ili kujiepusha na
madhara yake.
Ni vyema kutathmini lishe bora. Kula vyakula vyenye viinilishe hakudhibiti magonjwa tu bali pia
hutufanya tuwe thabiti. Jambo hili la kuwa imara hutuwezesha kufanya shughuli mbalimbali bila shida.
Maradhi huathiri afya yetu.Tunaweza kuyaepuka iwapo tutakula vyakula .Ni kweli kuwa kuthamini lishe
bora hufanya tuwe na afya vinavyoridhisha mahitaji ya mwili madhubuti.
a)
b)
c)
d)
SARUFI
(a)
(b)
(c)
(d)
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
18. Badilisha sentensi zifuatazo ziwe katika wakati ulio kwenye mabano.
(c) Alamsiki
MTIHANI WA TATHMINI 3
Kusoma
Watetezi wengi wamezuka ili kujishughulisha na shughuli aula ya kuzitetea haki za watoto.Utetezi huu
umezagaa mashinani na mijini. Lakini je, umewahi kuketi na kujiuliza watoto haki zipi? Ama wewe
wadhani haki za watoto ni kule kutoadhibiwa kwa mieledi tu! —
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
Haki za watoto zimeorodheshwa katika katiba kwanza kabisa, kama mtu mwingine yeyote mtoto ana haki
ya kuishi. Hakuna anayeruhusiwa na sheria kukatiza uhai wa mtoto eti kwa kuwa ni mtoto. Wanaoavya
mimba na kuwatupa watoto baada ya kujifungua huchukuliwa hatua kali za sheria.
1. Tambua vitenzi visaidizi kwenye sentensi zifuatazo kwa kuvipigia mistari. (a) Tumekuwa tukisoma
vitabu vya hadithi.
(b) Je unafahamu kuwa tarakilishi kipepesi rununu na kipakatalishi ni vyombo vya mawasiliano?
(a)
(b)
(c)
(d)
(a) Ndege
(c) Kipepeo
(d) Askari
(e) Mwalimu
(e) Mbunge
(a)
(b)
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(c)
(d)
(e)
Kuandika
Insha
Andika Insha ya
MTIHANI WA TATHMINI 4
KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
Maswali mengi yameibuka siku za hivi majuzi kuhusu ulaguzi wa binadamu. Kwanza kabisa, ulaguzi wa
binadamu ni nini je, unahusisha kina nani ni nani wa kulaumiwa kuhusu swala hili. Bila shaka ulaguzi wa
binadamu ni jambo lililo kinyume na haki za kibinadamu. Ni nani asiyefahamu madhara yanayotokana na
zimwi hili mbona binadamu mwenye akili razini awe na tama ya kumnyanyasa binadamu mwenzake je,
tumepaliwa na utu kabisa Tunafaa kuwaza na kutafakari kwa kina kuhusu hali ya kizazi kijacho mbona
tukiache kiangamie.
(a) Alamsiki
(b) Chewa
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(e) Masalkheri?
(a) Maji
(b) Mafuta
(c) Maziwa
(d) Marashi
(e) Uji
(a)
(b)
(c)
KUANDIKA INSHA
UHURU WA WANYAMA
MTIHANI WA TATHMINI 5
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(a)
(b)
(c)
(d)
(e)
Andika wingi wa
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
KUANDIKA
INSHA
Andika barua rasmi ya kuomba msamaha kwa kukosa kuhudhuria vipindi vya Kiswahili.
MTIHANI WA TATHMINI 6
1_ ni vitu kama vile madini, misitu, maziwa, wanyamapori na vitu vingine 2_ na maumbile ambavyo
hupatikana katika mazingira. Mito pia huunda sehemu kubwa ya mazingira. Mto ni maji 3_ 4_ wakati
wote 5_ kuanzia milimani kuelekea ziwani au baharini 6_ kuna baadhi ya mito 7_ hutowekea kwenye 8_ .
Nchini Kenya kuna mito na 9_, vingi. Mito mikuu ni pamoja na Tana, Ewaso, Nyiro na Athi 10 urefu wa
kilomita 5477. Mito mingine ni Yala, Sondu, Mailewa, Sio na migineyo.
A B. C D
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
Siku hiyo ni siku ambayo bila shaka Sifa hataisahau maishani asilani. llikua siku ya siku. Siku ambayo
angepata fursa ya kujifunza mengi. Alikua amefunga safari kutoka mashambani walikoishi ili kuja mjini
kuhudhuria hafla ya kipekee. Siku yenyewe ilikua siku ya jumamosi mwezi wa Aprili wakati ambapo
shule zilikua zimefungwa kwa likizo ya muhula wa kwanza.
Hauchi hauchi unakucha. Siku yenyewe ilipowadia, Sifa aliabiri matwana hadi mjini kisha akapiga
milundi kufululiza kenyekenye hadi katika taasisi ya Elimu ya Talanta.milundi n jmbali vya kidijitali
kama vile tarakilishi, vipakatalishi, Hapo wangejifunza mengi kuhusu vyombo mbalimbali vya kidijitali
kama vile tarakilishi,vipakatalishi,rununu, vipepesi na kadhalika. Walikua wamepewa mwaliko wa
kuenda kujifunza kuhusu matumizi ya vifaa vya kidijitali katika mawasiliano.
Alipofika katika ukumbi wa mapokezi wa shirika hilo, alimkuta mhazili. Rehema alikua amemsubiri
kumwongoza hadi katika chumba cha mkutano. Aliwakuta wanatunzi wengi wa rika lake kutoka maeneo
mbalimbali ya nchi wakiwa wametulia. Walikaa ange wakisubiri shughu ae Mzungumzaji alipoaanza
kuwaeleza kuhusu matumizi ya vifaa vya Kidijitali katika mawasiliano wote walitega maskio na
kusikiliza kwa makini. Aliwarai na kuwashawish kuwa vayifunze kuvitumia kwani vifaa hivyo vina
mchango mkubwa katika Nyanja nyingi za maisha yakiwemo.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(a) Kitabu
(b) Chandarua
(c) Chama
(d) Kijiti
(e) Kikombe
(a) Mbingu
(b) Eupe
(c) Nzuri
(d) Mwanaume
MTIHANI WA TATHMINI 7
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
Wakenya tufanye kazi na tujenge taifa, Kwani nchi yetu hujengwa nasi wananchi, Kwako wewe
mwanafunzi, amka tafadhali, Nenda shuleni usome, upate maarifa.
Hata wewe mkulima, elekea shambani Kilimo ndicho uti wa mgongo wa uchumi wetu, Kwenu nyinyi
wasomi, msichague kazi Kwani mchagua jembe, si mkulima.
Bidii ni lazima, huimarisha uchumi Tujikaze kazini ili tujenge taifa Wakulima tulime kwa nguvu zetu
zote, Bidii ndio msingi wa maendeleo.
3. Imba wimbo huo kwa njia_ inayofaa ukizingatia hisia na ishara za mwili.
Andika sentensi zifuatazo upya ukitumia vinyume vya maneno yaliyopigiwa mistari
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
KUANDIKA
Insha
MAJUKUMU YA WATOTO
MTIHANI WA TATHMINI YA 8
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(e) Ali alisema kuwa kwake kulikuwa kukipigwa deki wakati huo.
Sote tunapenda mwalimu wetu. Mwalimu huyo alitufunza kuhusu magonjwa ya kuambukizwa.
Magonjwa hayo yanaathiri watu wengi licha ya kuwa yanawezwa kukingwa. Magonjwa hayo yanaweza
kuingia mwilini kwa njia tofauti. Mtu hafai kula vyakula bila ya kunawa. Hiyo ni njia rahisi ya
kuambukizwa maradhi. Wengine hawanawi mikono ingawa wanaelewa kuwa ni mienendo mizuri. Kila
mmoja ana jukumu la kuimarisha afya. Ni sharti sisi sote tudumishe afya bora ili tuishi kwa muda mrefu.
Tukumbuke kuwa afya ni mali.
(c) Andika hotuba fupi ya kupasha habari kuhusu namna ya kujikinga kutokana na magonjwa ya
kuambukizwa.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
Kuandika Insha
RAIS WETU
MTIHANI WA TATHMINI 9
(a)
(b)
(c)
(d)
(e)
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(f)
(g)
(h)
(i)
(j)
Urafiki ni uhusiano mwema au unaofaa baina ya mtu na mwingine. Pia, unaweza kuwe usuhuba keti ya
Jamii na Jamii au nchi na nyingine. Usahibu wa mtu
na mwingine ni hali ya mja kumpenda na kumwamini mwingine. Neno rafiki hutumiwa kama kisawe cha
sahibu, swahibu, muhibu, mwandani, mbasi
Kufanya urafiki kunahitaji tahadhari kubwa. Rafiki wa kweli atakua mtu anayeweza kukusaidia kwa
urahisi ukiwa na shida. Yafaa ikumbukwe kuwa adha haina hodil. Ni muhimu kwa marafiki kuelewa
kuwa mtu anayekupenda wakati ambapo una shida ndiye muhibu wa kweli.
Uaminifu au utendaji wa mambo kwa nia dhabiti ni sifa nyingine muhimu ya marafiki. Kumpata mwenzi
wa aina hii huhitaji maarifa na akili ya kutoa uamuzi unaofaa.
Masahibu hawana budi kuwa waadilifu katika usuhuba wao kutendeana haki bila upendeleo, ushirikiano
au utangamano miongoni mwa marafiki, hulazimu kuungana na kusaidiana pasi na nia ya kunyonyana.
Kuhusiana kimbasi huhitaji uangalifu makini na hadhari. Ni jambo la muhimu kukumbuka kuwa asiye
nadhari, siandamane naye. Hili ni jambo linalosisitizwa kwa usemi kuwa mtu aso nadhari, ng’ombe.
Natoa himizo kwa masahibu kuwa wasikilizaji wema na wenye akili zilizotua wanapohusiana. Urafiki,
kama ulivyo mgomba, huhitaji kupaliliwa kwa hekima na busara.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(a)
(b)
(c)
(d)
Andika wingi wa
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
Kuandika Insha
MATUMIZI YA PESA
MTIHANI WA TATHMINI 10
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
Kamilisha Jedwali
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
yanayoambukizwana.
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553
MINISTRY OF EDUCATION
(a)
(b)
(c)
(d)
(e)
KUANDIKA INSHA
Compiled and Distributed by Kenya Educators Consultancy, P.O.BOX 15400-00500, Nairobi. Tel 0724333200,
Email: kenyaeducators@gmail.com. ORDER MARKING SCHEMES ONLINE AT: www.kenyaeducators.co.ke or
Contact Kenya Educators Consultancy officials 0724333200/ 0795491185/ 0768321553