KISWAHILI
KISWAHILI
KISWAHILI
KISWAHILI
KIDATO CHA PILI ~ 2024
KAZI YA LIKIZO
Maagizo
(a) Andika jina lako na nambari yako ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.
(b) Tia sahihi yako kisha uandike tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu
(c) Jibu maswali yote.
(d) Majibu yako yaandikwe katika nafasi ulizoachiwa katika kijitabu hiki cha maswali.
(e) Majibu yote ni lazima yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.
(f) Usitoe ukurasa wowote kutoka kwenye kijitabu hiki.
(g) Karatasi hii ina kurasa 8 zilizopigwa chapa.
(h) Watahiniwa ni lazima wahakikishe kuwa kurasa zote zimepigwa chapa sawasawa na
kuwa maswali yote yamo.
Matumizi ya 40
lugha
Isimujamii 10
Fasihi simulizi 15
Jumla
80
1
1.UFAHAMU:
(alama15)
Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata
Aibu kubwa ya taifa kushindwa kukabiliana na tatizo sugu la ajali za barabarani bado
inaendelea. Wahusika katika sekta ya uchukuzi na mawasiliano licha ya matumizi ya
vidhibiti mwendo na kanda za usalama. Ajali za barabarani zinaangamiza idadi kubwa ya
watu kila mwaka, wakiwemo viongozi na watu mashuhuri.
Miongoni mwa sababu ambazo zinaleta maafa barabarani ni pamoja na uendeshaji
kasi kupita inavyotakikana, yaani kukiuka masharti yaliyowekwa na wizara ya uchukuzi
na mawasiliano. Madereva wengi hung’oa vithibiti mwendo vilivyowekwa hawarekebishi
mikanda ya usalama, wala hawa peleki magari yao kwa ukaguzi mara kwa mara kama
inavyopaswa kutekeleza kanuni zilizowekwa kwa hivyo hutegemea hongo kuwa
barabarani. Fauka ya hao, madereva wa malori na matrela mara nyingi huendesha
magari hayo wakiwa walevi. Dawa za kulevya kama vile miraa na bangi, hutumiwa sana
na watu hawa, na matokeo yake huwa ajali mbaya.
Hata hivyo, lawama haiwezi kuelekezewa madereva pekee. Ukiangazia barabara
nchini utapata kuwa barabara nchini Kenya haziko katika hali nzuri . Zile za lami
zimekuwa na mashimo makubwa ambapo mvua ikinyesha hufanya vidimbi mithili ya
machimbo ya madini yaliyojaa maji baada ya kuachwa wazi. Na zile barabara zisizokuwa
za lami zimeharibika kiasi kwamba ni vigumu kuzitofautisha na njia za ng’ombe kwenye
maeneo kame.Kinachohitajika ni serikali kuzifanyia ukarabati ili kuzirudisha katika
kiwango ambacho zitaweza kufaa tena.
Wananchi pia inafaa waelimishwe ili wasikubali kuingia kwenye magari ambayo tayari
yamejaaa kupita kiasi. Hili litawasaidia wananchi wenyewe kudumisha usalama wao
barabarani. Pia inafaa watambue ya kwamba wana jukumu la kuwaarifu walinda
usalama endapo dereva anaendesha kwa kasi sana kuliko ile ya kilomita 80 kwa saa
iliyokubaliwa.
Inafahamika kuwa maafisa wa uslama ndio wafisadi zaidi, hivyo basi huchangia katika
kuongeza idadi ya vifo barabarani. Katika vita dhidi ya ufisadi na ajali za barabarani, ni
mwananchi mwenyewe ambaye anawezesha kukomesha hali hii. Kwa mfano, afisa wa
usalama akipatikana akichukua hongo, yeye pamoja na yule aliyetoa hongo wapelekwe
2
kwenye vituo vya kukabiliana na ufisadi na wachukuliwe hatua kali, matatizo haya
yataisha.
Lakini kabla kufika hapo, ni muhimu kumhamasisha mwananchi kuhusu haki zake na
namna ya kukabiliana na suala hili la ufisadi. Hali hii inatuonyesha kwamba mipango
maalum inapaswa kufanywa na serikali ili kuwaelimisha wananchi kama hatua ya
kwanza ya kukabiliana na ufisadi hatimaye izilainishe sekta zote wala si ya uchukuzi na
mawasiliano pekee.
Maswali
(a) Mbali na ajali za barabarani, taja, tatizo lingine sugu ambalo linakumba nchi ya
Kenya
(alama1)
..................................................................................................................
..............
(b) Ajali za barabarani zinasababishwa na nini?
(alama4)
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
(c) Mwandishi anapendekeza hatua zipi zichukuliwe na serikali ili suluhisho la kudumu
lipatikane?
(alama2)
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
(d) Taja hatua ambazo serikali imechukua ili kuimarisha uchukuzi
(alama3)
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
3
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
(e) Ni kitu gani ambacho kinaonyesha kuwa serikali imeshindwa kukabiliana na ajali
barabarani?
(alama2)
..................................................................................................................
..................................................................................................................
..................................................................................................................
..........................................
4
2.MATUMIZI YA LUGHA
(alama40)
(a) Andika sauti zenye sifa zifuatazo:
(alama3)
(i) Irabu ya mbele wastani
……………………………………………………………………….…………………………………….
(ii) Nazali ya kaakaa laini
……………………………………………………………………………………………………………..
(iii) Kipasuo ~ kikwamizo cha kaakaa gumu
…………………………………………………………………………………………………………….
(b) Bainisha muundo wa silabi katika maneno yafuatayo:
(alama2)
(i) au
………………………………………………………………………………………………………………
(ii) Ng’arisha
………………………………………………………………………………………………………………
(c) Kanusha sentensi hii:
(alama2)
Ukicheza utapewa zawadi.
………………………………………………………………………………………………………………….
5
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………..
(f) Andika katika umoja:
(alama2)
Wanyama wakali wamewafukuza wawindaji.
…………………………………………………………………………………………………………………
(g) Geuza sentensi zifuatazo ziwe katika wakati ujao
(alama2)
(i) Mimi ninapenda mtoto mtiifu.
………………………………………………………………………………………………………………
(ii) Mwalimu anaandika ubaoni.
……………………………………………………………………………………………………………..
(h) Weka nomino zifuatazo katika ngeli zao
(alama2)
(i) Chetezo
………………………………………………………………………………………………………………
(ii) Mwewe
………………………………………………………………………………………………………………
(i) Tunga sentensi kuonyesha majukumu matatu ya kiimbo
(alama3)
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….…………
(j) Ainisha maneno yaliyopigiwa mstari katika sentensi zifuatazo:
(alama3)
(i) Watu wanne wamewasili.
………………………………………………………………………………………………………………
(ii) Licha ya kukatazwa kucheza majini alirudia kosa hilo.
………………………………………………………………………………………………………………
6
(iii) Mwanafunzi yule alicheza mpira ule
………………………………………………………………………………………………………………
(k) Kamilisha majina ya makundi yafuatayo
(alama2)
(i) Mnofu wa ………………………………………………………………
(ii) Halmashauri ya ……………………………………………………….
(l) Eleza matumizi ya ‘kwa’ na ‘na’ katika sentensi zifuatazo.
(alama2)
(i) Alimcharaza kwa kiboko.
…………………………………………………………………………………………………………….
(ii) Juma anacheza mpira.
…………………………………………………………………………………………………………….
(m) Tunaweza kusema mwalimu huyu ameingia katika shule au ……………………
(alama2)
(n) Andika silabi inayotiwa shadda katika maneno yafuatayo
(alama2)
(i) Ala (kihisishi cha mshangao)
………………………………………………………………………………………………………………
(ii) Godono
…………………………………………………………………………………………………………….
(o) Tunga sentensi mbili kudhihisha matumizi ya maneno yafuatayo
(alama2)
Tua
Dua
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………..
……………………..
(p) Tumia kirejeshi amba katika sentensi zifuatazo
(alama2)
(i) Mafuta yaliyonunuliwa yameisha.
……………………………………………………………………………………………………………….
(ii) Kioo ulichonipa ni kizuri sana.
7
……………………………………………………………………………………………………………….
(q) Ala za kutamkia sauti hugawanywa katika vikundi viwili.Huku ukitoa mifano vitaje
vikundi hivi.
(alama2)
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
(r)Eleza maana mbili za sentensi ifuatayo
(alama2)
Juma alimlilia Haliwa.
……………………………………………………………………………………………………………….
………………………………………….
…………………………………………………………………………
3.ISIMUJAMII (alama10)
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali
Karibia kastoma. Yote ni mia. Mia mia. T – shirt na mia… karibu ndugu. Chukua shati na
mia. Shati kwa bei nafuu kutoka Dubai…”
(a) Tambua sajili hii
(alama2)
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
(b) Kwa kutoa mfano, eleza sifa nne za sajili uliyotaja hapo juu kama inavyojitokeza
katika kifungu
(alama8)
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
8
…………………………………………………………………………………………………………………
………..………………………………………………………………………………………………………
4.FASIHI SIMULIZI
(alama15)
(a) Taja vipengele vyovyote vinne muhimu katika uwasilishaji wa fasihi simulizi
(alama4)
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
9
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
(e) Jadili sifa bainifu za mtambaji bora
(alama3)
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………
……………………….…………………………………………………………………………………………
10