Romania

Pitio kulingana na tarehe 14:27, 22 Aprili 2015 na Dexbot (majadiliano | michango) (Removing Link FA template (handled by wikidata))

Romania (kwa [Kiromania]]: Româna) ni nchi ya Ulaya ya kusini-mashariki.

România
Romania
Bendera ya Romania Nembo ya Romania
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: Deşteaptă-te, române!
Lokeshen ya Romania
Mji mkuu Bukarest (Bucureşti)
44°25′ N 26°06′ E
Mji mkubwa nchini Bukarest
Lugha rasmi Kiromania
Serikali Jamhuri
Traian Băsescu
Emil Boc
Uhuru
Ilitangazwa
ilitambiluwa
9 Mei 1877 (Kalenda ya Juliasi)2
13 Julai 18783
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
238,391 km² (ya 82)
3
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
19,942,642 (ya 58)
19,599,506[1][2]
84.4/km² (ya 118)
Fedha Leu (RON)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)
Intaneti TLD .ro
Kodi ya simu +40

-

1Lugha kama Kihungaria, Kijerumani, Kiromani, Kiukraine na Kiserbia hutumiwa kieneo kwenye ngazi kadhaa

2 Vita ya uhuru wa Romania.

3 Mkataba wa Berlin wa 1878.


Ramani ya Romania

Imepakana na Hungaria, Serbia, Ukraine, Moldova na Bulgaria.

Kuna pwani kwenye Bahari Nyeusi.

Romania ina wakazi milioni 23 katika eneo la km² 238.391.

Mji mkuu ni Bukarest.

Lugha ya nchi ni Kiromania ambayo ni lugha ya Kirumi kama Kiitalia, Kifaransa na Kihispania.

Wakazi wengi ni Wakristo, hasa Waorthodoksi (86.5%), wakifuatwa na Waprotestanti (6.1%) na Wakatoliki (5.4%).

Jiografia

Tanbihi


Nchi za Umoja wa Ulaya  
Austria | Bulgaria | Eire | Estonia | Hispania | Hungaria | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituanya | Luxemburg | Malta | Polandi | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Udeni | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi
  Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Romania kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.