Nenda kwa yaliyomo

Charles Nicolle

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 23:08, 7 Machi 2013 na Addbot (majadiliano | michango) (Bot: Migrating 34 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q233965 (translate me))
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)
Charles Nicolle

Charles Jules Henri Nicolle (21 Septemba 186628 Februari 1936) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza virusi visababishavyo magonjwa mbalimbali. Alikuwa wa kwanza kueleza jinsi ya kuenea kwa homa ya madoa madoa. Mwaka wa 1928 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Charles Nicolle kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.