Mozambique Quotes

Quotes tagged as "mozambique" Showing 1-6 of 6
Enock Maregesi
“Kiswahili ni lugha rasmi ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Ni lugha isiyo rasmi ya nchi za Rwanda, Burundi, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya Kiswahili ni mali ya nchi za Afrika ya Mashariki, si mali ya nchi za Afrika Mashariki peke yake. Pia, Kiswahili ni lugha rasmi ya Umoja wa Afrika; pamoja na Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa, Kireno na Kihispania. Kiswahili ni lugha inayozungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile, duniani.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Kiswahili ni lugha ya Kibantu na lugha kuu ya kimataifa ya biashara ya Afrika ya Mashariki ambayo; maneno yake mengi yamepokewa kutoka katika lugha za Kiarabu, Kireno, Kiingereza, Kihindi, Kijerumani na Kifaransa, kutoka kwa wakoloni waliyoitawala pwani ya Afrika ya Mashariki katika kipindi cha karne tano zilizopita.

Lugha ya Kiswahili ilitokana na lugha za Kisabaki za Afrika Mashariki; ambazo nazo zilitokana na Lugha za Kibantu za Pwani ya Kaskazini Mashariki za Tanzania na Kenya, zilizotokana na lugha zaidi ya 500 za Kibantu za Afrika ya Kusini na Kati.

Lugha za Kibantu zilitokana na lugha za Kibantoidi, ambazo ni lugha zenye asili ya Kibantu za kusini mwa eneo la Wabantu, zilizotokana na jamii ya lugha za Kikongo na Kibenue – tawi kubwa kuliko yote ya familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri katika bara la Afrika. Familia ya lugha za Kikongo na Kibenue ilitokana na jamii ya lugha za Kiatlantiki na Kikongo; zilizotokana na familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri, ambayo ni familia kubwa ya lugha kuliko zote duniani kwa maana ya lugha za kikabila.

Familia ya lugha ya Kiswahili imekuwepo kwa karne nyingi. Tujifunze kuzipenda na kuzitetea lugha zetu kwa faida ya vizazi vijavyo.”
Enock Maregesi

Howard W. French
“A huge advertisement in the unmistakably bright red tones of Vodacom, the global mobile phone giant, looked on this tawdry scene. It read to me like a distilled message about the only values that remained in this country, whose leaders were once committed Marxists: money and power.”
Howard W. French, China's Second Continent: How a Million Migrants Are Building a New Empire in Africa

Hank Bracker
“In 1498, Vasco da Gama the Portuguese navigator explored this eastern coast of Africa flanking the Indian Ocean. This led him to open a trade route to Asia and occupy Mozambique to the Portuguese colony. In 1840, it came under the control of the Sultan of Zanzibar and became a British protectorate in 1895, with Mombasa as its capital.

Nairobi, lying 300 miles to the northwest of Mombasa is the largest city in Kenya. It became the capital in 1907 and is the fastest growing urban area in the Republic having become independent of the United Kingdom on December 12, 1963 and declared a republic the following year on December 12, 1964.


Kenya is divided by the 38th meridian of longitude into two very different halves. The eastern half of Kenya slopes towards the coral-backed seashore of the Indian Ocean while the western side rises through a series of hills to the African Shear Zone or Central Rift. West of the Rift, the lowest part of a westward-sloping plateau contains Lake Victoria. This, the largest lake in Africa, receives most of its water from rain, the Kagera River and countless small streams. Its only outlet is the White Nile River which is part of the longest river on Earth. Combined, the Blue Nile and the White Nile, stretches 4,160 miles before emptying into the Mediterranean Sea.”
Captain Hank, "Seawater Three"

“Aceitar tudo equivale ao lambebotismo, que é o maior mal que desgraça a nossa sociedade, onde as pessoas tendem a querer agradar ao chefe com todas as artimanhas possíveis.”
Jorge Rebelo

“É necessário que os jovens tenham um espírito aberto e saibam aceitar as posições dos outros, mas combatendo sempre os dogmas através do questionamento constante das soluções acabadas.”
Jorge Rebelo