Kupangwa - Movies Series

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 11

Kupangwa - Movies Series

1. EXT. ON THE RIVERSIDE BASE.DAY.


Benta, Babji and Frank are seated along the riverbank, Frank
is busy chewing while Benta is scrolling her phone.
BENTA.
Wasee me nimechoka na hii life.
Aiii nkt nlianza kujipanga kutoka
kitambo sana, nikiona vile niko na
mamali hapo, yani to ile life.
Kwanza nkianza na dinga hapo
imekubali, kimali safi hapo, usikii
ni limozin. Kenja pia ni design
yake.

Frank and Babji laugh.


BABJI
...ona huyu!. si basi uende ukasake
sponsor.

Looks at Benta from head to toe.


Kwanza hata ni sponsor mgani
atachukua kitu kama hii. Labda to
kile kimtu uko na yeye.
BENTA.
Mambo ya boy wangu imetoka wapi
sasa!.
FRANK

Wee usikii ulirogwa hadi hiko ki mtu ndio kikaamua


kukufanyia favor. Wewe mwenye ni shida tupu.
BENTA.
Wewe kwenda unabonga aje nkama wewe
uko na kitu safi na pia wewe ligi
yako to watu wa evolution, Unajua
sai mimi na elekea 30yrs na hata
sioni dalili ya hizo vitu popote.
FRANK
Utazeeka madam... hizo vitu ni
ndoto to. Mwenye amekukanyagia bado
hajadedi.
BABJI.
...unataka kusema amewekwa kwa
nyungu... kazi nkuzungushwa to na
kupulizwa.
Babji and Frank Laughs.

(CONTINUED)
CONTINUED: 2.

BENTA.
So unajaribu kusema sasa mimi Benta
nililaniwa sindio na bytha nikama.

Thinking.
Takes the packet of khat from Frank and starts chewing.
Alafu eti mbebez ule mwenye analia
shidah ata kunishinda infact kudate
na ule ni blander.
BABJI
Heheheh weee nikama hii jaba
imeanza kazi yake heheheh. na ni
mbili to ndio amedishi sasa
akimaliza hio pako.
FRANK
..Ataanza kutuambia story ya John
the baptist alikuwa uncle ya
herode.

BENTA.
Bytha wasee mi nadai kuwacha hii
wera sioini kukwa kuzuri hapa
mbele.

BABJI
Tena gani hizo umeanza wee chizi
nini. Usijariribu kuleta hio ufala
hapa, unless unataka Madam
akufanyie ile kitu.

Signals someone being slaughtered using his hands.


Unajuwa tu wewe ndo umebeba siri
zote madam boss.
FRANK
Hahahahaah waa yani wewe ndio donga
alafu sai unadai kuchorea. Cheki
punguza hio kitu unatumia siku
hizi. Henu kwanza leta hii kitu,
Snatches the khat packet from Benta.
Labda ni hii kitu inakuonyesha hizo
ufala.
BABJI
Madam akijua... atachinja alafu
wewe si hata wa kuzikwa venye
tunafanyianga hao wengine.
atakuweka kwa frezer na utakuwa
umepunguza budget yake ya kulisha
ile dogi yake.
(CONTINUED)
CONTINUED: 3.

BENTA.
So ni do? Mi nimewashow hapa mbele
naona ikiwa kubaya, venye vitu
zinaenda hivi sio kupoa.

FRANK
Cheki...Unadai kuwacha alafu?. Wewe
ndio ulisema huku hakuna kutoka.
BENTA.
Eeeh lakini...

2. INT. OLUNGA’S UNCLE’S PLACE.DAY.


Olunga’s uncle Ben, opens the plot’s gate and enters,
followed by olunga. He start to walk towards goes to his
house’s door,after olunga has entered and closed the gate.
Olunga stops and looks around.
UNCLE BEN
Nini tena!. Si wewe ndio ulitaka
Nairobi?.
OLUNGA
To Nera... Koni kanye?. mae bende
Nairobi?. Huku pia iko pamoja na
Nairobi.

UNCLE BEN
Hapana Nairobi iko huko kwingine,
ne rasingwa ni. Hii ni Nairobi.
OLUNGA
Nyaka mabat sufuria igedo go.
Reaches for one of the wall’s house and tries to press
inside making a depression nearly falling inside.
...nlifikiria mabati ni ya juu ya
nyumba... pia ni ukuta.
UNCLE BEN
Neeeh ginene. Tembea.
Turns and grabs Olunga’s hand pulling him to his house door.

OLUNGA
aaaaih nera kwani kuuliza nimbaya.
UNCLE BEN
Tumefika... hii ndio mlango,
maswali nyingi wachana nayo.
(CONTINUED)
CONTINUED: 4.

Bends to open the door, then turns to Olunga before fully


opening the door.
Na kabla unigie hapa kuna rules.
OLUNGA
Nera rules tena.
UNCLE BEN
Na uwache kuniita nera hii ni
nairobi ongea kiswahili. Kwasababu
ya hio rules zimeongezeka ni tatu.

OLUNGA
eeeih ne...
Ben cuts Olunga’s words with a fears look.

UNCLE BEN
...good!. Rule number 1; Hakuna
kufungulia mtu yeyote kama sio
mimi, sawa.
OLUNGA

Nodes in acceptance.
...sawa.
Uncle Ben opens the door completely and enters follwed by
Olunga. Sits on a plastic chair, directs Olunga to sit on
the Old torn sofa, Olunga sits hesitatingly while looking
around.
UNCLE BEN
Rule number 2; Usitoke nje ukiingia
kwa nyumba, wakora ni wengi
Nairobi. And ya mwisho, Usiniite
Nera tena, na lugha ni kiswahili.
Tumeskizana.
OLUNGA
Sawa sawa... na Nera...pole, uncle
huku unaishi ama ni store ya kuweka
vitu alafu tunaenda kwa nyumba...
nyumba iko na wapi.
UNCLE BEN
Hapa ndio utakaa, nlikuambia uwache
maswali, ama unataka hio pia
niongeze kwa rules.
Uncle Ben wakes up and goes to the door, picks up a padlock
opens the door.

(CONTINUED)
CONTINUED: 5.

OLUNGA
Kwani unatoka tena?.
UNCLE BEN
Narudi!.

Uncle Ben goes out and locks the door with the padlock from
outside. Olunga starts to call.
OLUNGA
Nera! tena unafunga...Nera!
Nera!...
Goes to the door tries to shake it to open.
Nairobi!.

3. EXT. ON THE RIVERSIDE.DAY.


Benta is scrolling through her phone from a distance away
from Babji and Frank, while Babji and Frank are chatting and
laughing.

Benta looks at them then continues with her texting, her


phone rings, she recives.
BENTA.
...yes madam!.... Nmeona!.

MADAM MILLER(O.C)
Chukua hao watu wako mwende
mkatafute mahali inakaa hivyo.
BENTA.
Sawa madam... Na wanakaa to nkama
wamelala.
Looks at Babji and Frank who are busy laughing at a
distance.

MADAM MILLER(O.C).
Wamelala...?!. Mnalala aje mchana.
BENTA.
Nkama awako sawa...!.

MADAM MILLER(O.C).
...usijali, hao unajua venye
utawasort... natuma kitu hapo ya
logistics pamoja na ya hao watoto
wako... ndio walele vizuri.

(CONTINUED)
CONTINUED: 6.

BENTA.
(Smily)
...eeeish madam...! hapo sasa...
hio shughuli tunaichangamkia to
sai!.

MADAM MILLER(O.C).
Do as we do... No tails, no
colateral...everything masked and
erased.

BENTA.
Kabisa!.
MADAM MILLER(O.C).
Okay report to me when you have the
photos and something nice. Make me
smile!.
BENTA.
Si unajua to madam!.
MADAM MILLER(O.C).
Okay then...fanyeni kazi!.
Hangs the phone.
BENTA.

Thinking
...Na madam... kuna kitu nlikuwa
nataka kukuambia...hello!...Hello!.
Benta looks at the phone and turns to Babji and Frank.
Oya...Amsheni!, kuna mteja.
FRANK
(excitedly)
Wakes up.
Walahi!.
BABJI.
Rises and walks past Benta followed by Frank.
Alafu ulikuwa unataka kuwacha...

Mocking Benta.
Si uwache basi... wacha!... tuone
kama utabuy hio liomizin yako.

(CONTINUED)
CONTINUED: 7.

FRANK
Mimicking Benta earlier words.
...nataka nibuy nyumba na
gari...lakini hii kazi nawacha!.

Benta still rooted to the spot looks at Babji and Frank and
as they puppet past her.
BABJI.

Looks at Benta hehind him.


Yooh!. Twende kabla huyo mteja
achange mind.
Benta signs and follows them.

4. INT. OLUNGA’S UNCLE’S PLACE.NIGHT.


Uncle Ben comes knocks on the door, Olunga, who was sleeping
on the sofa is awaken by the knock. Rises up in panic as
darkness had already started to fill the room, looks around
and then hears the knock again.
Olunga listens carefuly.
OLUNGA
(hesitatingly)
...Ni...ni...ni nani.
The knock goes louder, then stops.
...in ng’a...?.
There is a long silence before some sounds of flucking keys
are heard on the door.
OLUNGA
Nera!...Uncle!.

The doors node openning sounds as Olunga continues to call,


the door is opened and a man enters the house. Olunga tensed
and afraid keeps silence.
Uncle Ben, reaches to the drawers and picks a matchbox after
series of failaur attempts in the dark. Lights up one of the
sticks and sees olunga coiled in the sofa. Olunga is relived
after seing is his unlce.
OLUNGA
...Nera...kumbe ni wewe unanishtua
hivyo!.

(CONTINUED)
CONTINUED: 8.

UNCLE BEN
Ssssh. Ni usiku hakuna kelele.
Uncle Ben lights up an old kerosene lamp on top of the empty
old, broken mini cabinate. Then sits down on his favorite
plastic chair, starts to remove his shoes.

OLUNGA
...Na watu wa Nairobi mnaishi
aje...unakuja kwako kama mwizi!.

UNCLE BEN
...wacha kelele...ikifika usiku
hakuna mtu anaongea huku... hawafai
kujua kama uko ndani.
OLUNGA
...kina nani?.
Uncle Ben dropps himself mercilesly on the mat and closes
his eyes ready to sleep. Leaving Olunga shocked by the drop
and tries to wake him up.

OLUNGA
...Nera... kwani hivyo ndio
umelala... hatukuli!.
Shakes his Uncle.
Nera!. Nera!.

UNCLE BEN
(Tiresomely)
...Chukua maji hapo kwa ndoo
ukunywe!.

OLUNGA
Maji?.
Olunga looks around to try find something like a backet in
the darks room, with a fading kerosene lamp.

UNCLE BEN
Harakisha ulale kabla hio taa
haijazima.
OLUNGA
...onge bwana!... nera okanyal
nindo gi pi kende iia! amadh pi
debe kwani an liech.
Suddenly the kerosene lamp fades off and turns off bringing
total darkness in the room.

(CONTINUED)
CONTINUED: 9.

OLUNGA
Nera...Nera taa osim. Leta hapo
pesa ya mafuta na chakula.

UNCLE BEN
(sleepy)
Hio taa tangu inunuliwe haijawahi
wekwa mafuta... usijisumbue.
Unavuta kitambi juu inawaka
ikichomeka hadi inazima, kesho tena
unavuta juu. ikiisha unanunua
kitambi pekeyake. Mambo ya mafuta
sijui.
OLUNGA
Aaaai nera hapana... mago tang’o.
UNCLE BEN
Unaongea nyingi kwa giza kwani wewe
ni mchawi...in jaido...Olunga
nidi...

OLUNGA
Nera...!
UNCLE BEN
...Nindi!...

OLUNGA
To nera...
UNCLE BEN
Olunga kikawinji kanyo kiyao dhogi
no.

5. INT. OLUNGA’S UNCLE’S PLACE.DAY.

Early in the morning, Olunga wakes up from the sofa only to


find his uncle is nowhere to be seen, cheacks around and
decides to go out.
Looks outside, the plot is still empty no one around,
decides to sit on the door step. After a while a Sharon,
Neighbours daughter comes out looks at Olunga and goes to
the gate opens and stepts out. She interchages with Uncle
Ben on his way to the plot. Uncle Ben greets Sharon, who
looks at Olunga, and starts conversing as they ocassionaly
points at Olunga, Uncle Ben laughs as Sharon walks away
smily. Uncle Ben comes in to the door carring a shopping bag
goes to where Olunga is.
Looks at Olunga for a while.

(CONTINUED)
CONTINUED: 10.

UNCLE BEN
wuogna...!.
Olunga squizes himself on the side and leaving a narrow path
for Uncle Ben to enter.
nkiinga hapa ndani kabla
yako...uende venye umetoka hivyo.
Olunga turns and gets in the house.

You might also like